The Bongo flava star who has been missing in action for some time confirmed to his fans that he is back and ready to give them hit songs under his new management.
“Imekuwa safari ndefu yenye matumaini makubwa katika kusimamia kazi zangu za muziki.Hivyo basi, Nawaarifu kutegemea mengi makubwa katika muziki wangu na kuniona katika hatua kubwa zaidi.
(It’s been a long journey fully of hope and optimism when it comes to managing my musical work. On that note, expect bigger things in my music career and watch me excel to the next level)The singer also expressed gratitude to God, saying he learned a lot for the period he was missing in action)," Aslay stated.
Adding that;
“Nina kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kipindi chote ambacho nilikuwa kimya, hakika nimejifunza Mengi. Ningependa kuchukua wakati huu Pia kutoa shukrani zangu kwa kila mmoja wenu kwa support mnayoendelea kunipa katika muziki wangu hata wakati nilipokuwa kimya. Asanteni sana,”
(I have every reason to thank God. I have learned a lot for the short period I have been quiet. I would also want to use this opportunity to thank everyone who supports me if when I was releasing new music. Thank you.),” Aslay remarked.
Nazizi's heartfelt message to supporters after losing her son