Before exposing his ex girlfriend Fridah Kajala, Harmonize said he was going to drink to get the courage to expose her.
He then alleged that Kajala's 20-year-old daughter was hitting on him.
"Kwa kipindi kirefu sanaa!!! Nimezipokea lawama zakuonekana ni mtu asie na hekima mwenye tamaa alie mtongoza mtoto wa dem wake. Nilikubali lawama zote zije kwangu sikuelezea chochote almost miake 4 kwakilinda heshima ya mtu niliewahi kuwa nae lakini pia kwa kutambua yeye ni mzazi pengine itamuumiza zaidi. Akijua ukweli wa mambo!!!
"Ila kwa kuwa ameona kunidhalilisha na kunifanya nionekane sio mwema hakutoshi kafikia kuniita chizi. Sasa wacha nielezee uchizi wangu!! Kaa na bint akuelezee vizuri kwa nini ananichukia kama anavyosema (I hate him !!!)"
He went on to allege that they started talking in 2017 and when she came back from school after two years and found out that Harmonize was dating her mother, she did not like it.
"Kiukweli kabisa hanichukii. 2017 alinitafuta kupitia ndogo wake wa kiume Pol wa baba mmoja aliniambia my sister she wanna talk to you!!! This is her Instagram nikusaidie tuu bint yupo Instagram tangu 2017 mimi na machizi wenzangu tunajua We unajua kaanza mwaka juzi.
"Niliongea nae na akinipa number yake and usimwambie mama nyingi mnoo sikumzingatia pia alikuwa mtoto sanaa na ukizingatia alikuwa bado shule baada ya miaka miwili anarudi shule anakuta penzi limekolea tui nakujali nakuhudumia kila unachotaka nakupatia na hata yeye pia nampa atakacho kama bint yangu,"
Revealed! Why Kennedy Onyango's body was taken away by police before burial