He spoke to the Mungai Eve channel where he assured he was not disrespectful.
"I trend so many times for different reasons," he began.
"You know in the club there is a lot of business that happens. Whispering in someone's ear labda muziki iko juu sana and everybody knows, maybe you guys didnt know that me and Bahati and Diana we are friends for so many years."
He said he is the Godfather of their first child, Heaven.
"We are good friends, we were having fun we were dancing, you know, she is like my sister When I am with my sister I can hold you, I can hug you, the only thing I cannot do ni mambo ya ile sasa ya mzee kabisa kabisa , lakini kushikana ku kufurahia hata tuimbe pampoja that one you can do with your sister."
Kuna watu wengine ni wapumbavu tu, ndio wanadhani labda nikikushika hivi sas umekuwa bibi yangu, si ni ukweli?"
He blamed the harsh reaction to his playfulness with Diana to a lack of proper upbringing, "Sasa unajua sasa kama mumelelewa muko na upungufu wa mapenzi kwenu munaona kama mtu akikukaribia anatyaka kukufanyai vitu mbaya. Lakini haimaniishi namna hiyo," he urged KOT.
He says their friendship is from way back;
"Unajua ni wtu wa umbea wako na roho ya ushetani akili za kishetani kwasababu at the end of the day tulimaliza sherehe kwa ungwana hao wakaingia gari yao vile walikuja na mimi kwangu na watu wangu."
Sina sifa za kunyanganya watu wake wao. Mimi naheshimu bib za watu wasichana wale wako single wako over one billion siwezi kumaliza haop Mimi sijawahi kunyaganya dame wa mtu. Naheshiam kabisa na watu na commitment zao," he insisted.
"I would never take another mans wife especially rafiki wangu," he says he had a lot to catch up with Diana.
He explained why they were whispering in each other's ears
"Tunakuanga na stori nyingi. Tukuanga na stori nyingi sasa ukikumbuka stori, rafiki yako atacheka, ama labda tulikuwa tunasengenya mtu kwasababu hata sisi ni binadamu pia tunasengenyanga watu, tunasema huyu fulani mbona ako vile.
We were enjoying partying, at a friends club who had invited us, pia sis ni binadamu tunakuanga na pressure tunaenda u relese pressure tunaenjoy maisha kabisa."
Revealed! Why Kennedy Onyango's body was taken away by police before burial