Harmonize blows the lid open on jobs Africans do abroad to makes end meet (Video)

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

Singer Harmonize has written a heartfelt letter to Africans living abroad who are caregivers to old white people.

The singer shared a video feeding an elderly woman and spoke about how these Africans are struggling to make a living.

He wrote;

Kuna Wachache Wenda Nahisi 🤔 Hawakuelewa Kitu Hapa..!! Kwa Huyu Mama Wa Kizungu...!!! Wapo Walio Comment Kwamba Unakuwaje Na Mama Mzungu.!! 🤣

Wacha Nilifafanue Hili Kwa Wanao Ishi Nje Ya Tanzania Na Sehemu Kama UK, USA, Au Tuseme tu Ulaya Kwa Rugha Nyepesi Wameelewa Dhahiri Kabisa

Nilicho Maanisha Nikwamba Asilimia Kubwa Wa Africa Wengi Ulaya Kazi Zetu zinakuwa Hazieleweki Kama Ilivyo Tamaduni Zetu Hatuchaguwi Kazi Ilimradi Mkono Uende Kinywani ...!!!

Yatima Hajuwi Kudeka...!!! Kazi ni Kazi Ubaya Kuiba...!!! So hizi ni Moja Ya Kazi Wanazo Zifanya Baadhi Tuu Ya Ndugu Zetu Wanao Ishi Nje Kuwahudumia Wazungu Watu wazima Ambao Wamefika Umli Wa Kuto Jiweza Kuwapikia Kiwalisha Na Hata Kuwaosha...!!! Na zingine Nyingi Duah Zangu Zipo Pamoja Nanyi Mchana Wa Leo Mungu Mwenye Huruma Atawabariki Kazi Zenye Manufaa Zaidii...!!!

(A big percentage of Africans living in abroad do jobs that us Africans living here cannot understand according to our cultures. Work is work as long as you are not stealing. So this is part of the jobs some of our brothers do in abroad, to cater for old people who cannot take care of themselves, they feed and even wash them. My prayers are with you today)

In his new video Mama, the singer showcases the different jobs he undertakes so that his mother can eat back at home;