'Baba hayuko sawa!' Mzee Abdul's daughter reveals he's depressed after Diamond ditched him

Piece by: Caren Nyota
Lifestyle

Mzee Abdul Juma is not okay. His biological daughter has revealed that all isn't well. Speaking in an interview with a Tanzanian media house, she said,

'Kilicho niuma ni kwamba kwa nini amkane baba? Sasa hivi baba ako katika hali mbaya na hata nyinyi [media] mlivyokuja ameshindwa kuongea na nyinyi...hayuko sawa na amevurugwa kuliko kawaida.'

Also read;

She said nowadays the old man spends time alone thinking and she is afraid he might sink into depression

'Sikutarajia kaka Nasibu anaweza akasema vile. Mimi sibembelezi undugu...ni uamuzi wake kusema kwamba baba si mzazi wake halali,' she said.

Mzee Abdul's daughter added that Diamond and his mother are playing mind games with the public.

'Kwa nini ameruhusu watoto wake wale wadogo wakaitwa jina la baba ambaye ndio babu yao? Mimi nadhani tu ni series wanacheza. Inamuuma babangu. Wamemchafulia baba jina ya kutosha...Diamond karogwa na sijui aliyemroga ni nani? Uchawi upo maana hiyo sio akili ya Nasibu, ama kama anafanya kiki au series basi mwendelezo wake utafikia kikomo,' she narrated.

Also read;

The young lady hopes her father will be okay soon and forget about what happened.

'Chozi la mzazi lina maana. Sio tu mama akitamka kitu kinamfuata mtoto, hata baba haswa vile anavyoumia. Bila baba Nasibu hangewahi ona dunia.'

Mzee Abdul was believed to be the Tanzanian crooner's father for over 20 years until January 2021, when his mother Sandra let the cat out of the bag.

Also read;