'Maneno mnaskia kijana ako kwa bedsitter anaongea msichukulie serious!' Ringtone responds to Weezdom

Piece by: Caren Nyota
Lifestyle

Controversial gospel singer Ringtone Apoko has responded to Weezdom after he exposed him for neglecting his baby.

Scandalous gospel artiste Weezdom shared parts of a video interview between Mpasho writer and Ringtone's baby mama Angel Nyambura, calling him out. (Click on the page below to read the story which was broken by Mpasho).

In his post, Weezdom wrote,

huyu mwanaume amejawa na umama @ringtoneapoko kwa Gospel industry. Juu kila siku Anatry kutrend na watu hapa social media na Ile Uchafu akonayo ye ata ndio anafaa kuokoka tena. Hii post specifically nimeandika juu huyu msichana ako kwa hii video, akona uchungu sana alidanganywa na Ringtone wakalala pamoja. baada ya kupata mimba Ringtone akaruka. Huyu msichana amekuwa akililia Ringtone asupport mtoto juu ye hupiga mdomo vile akona pesa kwa social media. But this innocent woman has been struggling and hustling on her own to raise Ringtone's Son. Cha kusikitisha when the Girl tried to talk, Ringtone Anathreaten atamuua juu anajua watu wengi kwa serikali. The time she tried to speak to Kiss 100 This Wicked Ringtone hired a Chokora to impersonate himself as the father of Ringtone's Son which really pained the girl and the Family And I have proof coz Ringtone even tried to talk to me nimtafutie mtu mwenye anaeza pretend to be the father of the kid. WHAT KIND OF WICKEDNESS IS THIS?? Si heri ata hii ya Bahati Na Willy Paul Yenye tunajua. Ambieni Ringtone Instead ya hii Umama mingi social media atumie hii time kubond na mtoto wake juu saa hii mtoto anateseka, mamake anahangaika wanakosa ata chakula. Ambieni Ringtone hii kuacha damu yake Ateseke akipiga mdomo social media itamhaunt siku moja.

Responding to Weezdom, Ringtone said he had no time to argue with boys and claimed that the EMB signee lives in a bedsitter.

In a video he posted on his Instagram he said,

Yoooh good morning! Huyu ni chairman wa Gospel Ringtone. Wacheni ni waambie Vijana, kama chairman mnafaa kuniheshimu! Sasa hiyo maneno mnaskia kijana ako kwa bedsitter anaongea msichukulie serious. Nimekataa. hao vijana wanajua uwezo wangu. Nimekataa kushuka kutoka kushuka kwa kiti changu cha chairman nianze kubishana na vijana wadogo. Maybe wanataka wapate sijui nini. Sibishani na vijana nataka kufanya kazi ya Mungu. Vijana wakiongea ni wazimu. Mimi sitaki tafadhali kuchangia kupoteza wakistro. [I'm the chairman and don't take the story that you've heard from that boy (Weezdom ) who lives in a bedsitter seriously. I will not stop low and argue with men. I'm doing God's work. Those boys saying things about me are crazy. I don't want to mislead Chrstians].

Also read;

Many have reacted to Ringtone's video and reactions include;

jayvlogs Chairman wa Gospo sisi watu wa bedsitter hatuna ubaya😂😂

njeri35 Ati ako mahali kwa bedsitter😂

nimohnish Eeh usibishane na vijana wadogo juu haina haja but kama mtoto ni wako tafadhali lea

akapa Haha hapo kwa bedseater umeweza #ringtoneapoko am following you two but you seem to win🔥

mocck Go look for your babymama and your kid😁

nandwai The way you brag a lot unafanya tufikire huwa hunyongi monkey 😢😢😢

praxidesmukhwana Gospel musiciaaaaans!!!!!

Also read;