Kumbe! Diamond Platnumz BUSTED For Copying Davido's Song, Producer Admits

Piece by: Queen Serem
Entertainment

It is called copy and paste; CTRL+C, CTRL+V!

Diamond Platnumz's producer Lazer has admitted that they copied Davido's song dubbed Fall to Diamond's latest song Eneka.

From the beats to the translated Swahili lyrics, it is evident that fans have been saying the truth when it comes to his beats. What Diamond did differently was the video and the Swahili verses.

Talking to Millard Ayo, Lazer said:

”Kwanza naweza nikasema hivi huu ni muzuki na muziki pia una style yake inategemea ni muziki wa aina gani unaweza ukafanana. Nimesikia hizo habari kwamba wimbo wa Eneka unafanana na Fall ya Davido lakini naomba kitu kimoja watu waelewe kwamba muziki wa Kimarekani umechanganywa na kiafrika lakini vitakavyobadilika vitabadilika vichache.

He then admitted that Diamond copied Davido:

“Tusiwe waongo, sisi tunafuata Nigeria wanafanya nini, tusiwe wanafiki kwamba tusiangalie Nigeria wanafanya nini kwa sababu wametutangulia. Kwa hiyo ili tufike kule walikofika wao lazima tupite njia ambazo wanapita wao.

He continued:

“Sioni ajabu kwamba mtu akisema hii imefanana…mi ninachojali ni kwamba watu watapokeaje nyimbo, itapendwa au itafanya vizuri. Hicho ndicho ninachokiangalia zaidi.

Well, just like any other celebrity who is striving to make it to the world music stage, Diamond is also a copy-cat.

I mean, otherartistes also copy him, right? Did I mention Willy Paul?