Sosuun hints at cause of marriage breakdown with rapper Kenrazy

• The couple was married for over 10 years and had two daughters together.

Sosuun and Kenrazy
Image: Courtesy

Veteran female musician Sosuun has for the first time narrated the issue that caused her relationship with her long-time lover Kenrazy to fall apart, one month after breaking the news that they are no longer together.

In an interview on a radio station in this country, Sosuun said that it was true that she and Kenrazy are no longer lovers despite the fact that they have known each other since they were young many years ago.

“Ni maisha, chochote kilichotokea kilitokea. Unajua wakati mwingine unajitibu kurekebisha lakini haiwezi. Kila mtu sasa anaendelea na maisha yake na siwezi sema kwamba tuko pamoja. Hatuko pamoja,” Sosuun alisema.

“Ni jambo la kushangaza kwamba mtu ambaye anaonekana muongeaji huwa ndiye mbishi lakini ukweli ni kwamba mtu anayeongea sana ndiye anayejaribu sana kutafuta mwafaka,” she added.

Sosuun said that after peace could not be found, they decided to just break up and she swore that if there was one thing ahe could not do, it was to speak badly about Kenrazy.

"Kitu ambacho siwezi kukifanya ni kuzungumza vibaya kumhusu Kenrazy, ni baba kwa watoto wangu, ni mwanamume mzuri na pia ni mtu mwenye heshima sana, tunaheshimiana na ako vizuri katika masuala ya kunisaidia malezi," she added.

Check out the latest news here and you are welcome to join our super exclusive Mpasho WhatsApp group for all the latest and breaking news in entertainment. We would also like to hear from you, WhatsApp us on +254 736 944935.