'Marry anyone you want!' Diamond Platnumz' mother tells him after beating Hamisa like a burukenge

Piece by: Caren Nyota
Entertainment

Sandra Sanura Kassim, the mother to Tanzanian crooner Diamond Platnumz has given him the go-ahead to marry a woman of his choice.

Also read:

Speaking during an interview with Risasi, The singer's mother said that his son was free to marry any woman his heart loves.

Unajua siwezi kumchagulia Diamond mwanamke wa kuoa bali yeye mwenyewe ndiye atakayechagua maana hata kama watu wanavyosema amuoe Zari wakati wanakutana na kuanzisha uhusiano wao mpaka wakapata watoto mimi sikuwepo hivyo mambo ya kuoa ni uamuzi wa mtu mwenyewe.

Her remarks come barely six months after she beat up Diamond Platnumz baby mama Hamisa Mobetto and vowed to teach her a lesson whenever she steps at her feet at her Madale home.

HAYO MAMBO YA MZAZI MWENZIE NI HUKO, PALE MADALE NI KWANGU NA SIMTAKI NYUMBANI KWANGU KABISA.YAANI KIUFUPI SIMPENDI NA SIMTAKI NA KILA AKIKANYAGA HAPA KWANGU NI KIPIGO TU.ALIPOKUJA KIWIZI USIKU ULE NA KULALA NYUMBANI KWANGU, ALIPASWA KUONDOKA KABLA SIJAMUONA KWA NINI ALISUBIRI MIMI NIMKUTE MAANA SIKU HIYO ASUBUHI YAKE NILITOKA NA NILIVYORUDI NDIPO NIKAMKUTA.

Diamond Platnumz mother further revealed that Hamisa insulted her during an interview with a local media house and she was hurt. She claimed she was trolled on social media and she wasn’t happy.

KWANZA SIO WIFE MATERIAL. HAJUI KUTANDIKA KITANDA HATA KUFANYA USAFI NI MWANAMKE TU AMBAYE NI SHIDA.”

SIMPENDI HAMISA NA SITAKI AKANYAGE NYUMBANI KWANGU. LAKINI KAMA DIAMOND ATAENDELEA NA HAMISA HUKO NJE SIO MADALE.

Also read:

Diamond Platnumz' mother praised Zari, saying she respects her and that she's the one suitable for her son though they're no longer an item.

ZARI NAMHESHIMU. NI MWANAMKE AMBAYE NDIYE WA KWANZA KABISA KUMFANYA MWANAGU AITWE BABA. NITAENDELEA KUMHESHIMU NA KUMPA HESHIMU KWA KILE ANASCHOSTAHILI.

SIMKATAZI DIAMOND PLATNUMZ KUOA LAKINI SIO HAMISA. NATAKA MWANAMKE AMBAYE ANAJIHESHIMU, MWENYE HESHIA NA ANAYEJUA KUPIKA LAKINI SIO MOBETTO.

Diamond and Hamisa are not together anymore and the socialite recently revealed that after partying ways with the singer, she is 'blessed'.

Also read: