Diamond's manager, Babu Tale and rapper Mwana FA sworn into parliament

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

Diamond's manager, Babu Tale and rapper Mwana FA both from Tanzania are now Waheshimiwa. The two were elected into parliament as MPs.

Babu Tale real name, Hamisi Shabini Tale Tale won the Morogoro South seat while Mwana FA won the Muheza constituency seat.

The two were sworn in yesterday in parliament.

Babu Tale took to social media to thank the people for the votes;

Asante mwenyezi mungu, asante wana Kusini Mashariki kwa kuniamini, naahidi kuwatumikia na kutekeleza ilani ya Chama cha mapinduzi kwa miaka mitano tena, uchaguzi umekwisha tujenge Moro mpya.

Asante Mungu kwa kila jambo

Adding;

Asanteni ndugu zangu wana kusini mashariki kwa kuniamini tangu mchakato wa kura za maoni mpaka kipindi namtafutia kura Mwenyekiti na Raisi wetu wa chama cha mapinduzi(CCM) Jemedari Dr. John Pombe Magufuli, asante pia kwa ushindi mzito wa kura nyingi kwa chama cha mapinduzi kwa kupelekea ushindi wa kishindo, hili ni deni kubwa sana kwa chama chetu CCM naomba sana mniombee nikawe msemaji wenu mzuri kwenye kusimamia Ilani ya Chama cha Mapinduzi naamini tutatekeleza kwa kishindo. #malengo #morompya

These elections were unfortunate for Proffessor Jay, who won the MIkumi seat in 2015 but lost the seat this time round.