You Will Wish NTV's Rashid Abdalla Was Your Husband After Seeing What He Did To Lulu Hassan

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

I tell you this guy is a gentleman...A real gentleman!

NTV's Swahili anchor Rashid Abdalla is one loving husband to Citizen TV's Lulu Hassan and father of two. Rashid is known for his fluent Swahili language and his popular hash tag Sisemi Kitu.

We also know him for showering love on his wife, Lulu Hassan on social media. Well, Rashid who is also a corporate MC has done it again.

Rashid went ahead to pour his heart out as he wished his wife a happy birthday in a heartfelt message that moved fans;

He wrote;

"#sisemikitu Ingekuwaje kama ningekuwepo bila wewe kuwepo? Ingekuwaje kama ungelipuuzilia mbali hili tamko " I love you"?. Ingekuwaje ndoa yetu Mola asingeiibariki na hawa watoto...Ingekuwaje? . Sikutaka mkamilifu bali niliomba Mungu anipe Mke muadilifu. Sikuolea watu kwa hivyo ubaya wako wangu na uzuri wako wangu. Penzi letu si bora kushinda wengine duniani lakini nakiri najivunia kwani ni bora kwangu mie."

He continued;

"Mola akujalie umri na afya njema kulinda kiapo ulichokula wakati wa ndoa. Mola awape uhai kina mwafulani kwani hila zao zimetuwezesha kuimarisha penzi letu. Mimi si mume bora ila wewe umenifanya bora kwa kuthamini mapungufu yangu. Heri njema ya siku ya kuzaliwa kope mkonyeza nyusi zangu lulu hassan . Happy Birthday my best friend."

He might have sounded like a poet. So, Rashid, is this hidden talent?