'Nisamehe' Wema Sepetu begs for forgiveness over cosy video

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

Wema Sepetu has asked for forgiveness after a video of herself kissing her nleaked. The actress and former Miss Tanzania has spoken to the press pleading for forgiveness from her fans and Magufuli's government.

She said:

Nimeamua kutake full responsibility.Naomba radhi. Naomba radhi kwa kugundua baya nilililolifanya kua ni baya. Huenda ni vitendo vya kawaida vinavyofanywa na wote lakini vinavyotoka nje huwa vinaleta taaswira tofauti isiyopendeza na ni zaidi ya aidbu.

Adding that:

Nimekosea sana na ninaomba radhi na upuuzi ambao nimefanya. Tangu nimeingia kwenye dunia ya umaarufu 2006 nimefanya utoto na ujinga mwingi sana ambao umekua ukivunj watu wengi nguvu.

Check out the video:

https://www.instagram.com/p/BpUu-LQBPrL/?taken-by=the_originaleast

Sepetu's friend who is Diamond's sister Esma Khan has also penned down a message for the Tanzanian star asking her to be strong;

Hakuna asokosea jamani kuna watu wanamakosea zaidi yake but maisha yanaendelea.

Mimi nakosea wewe unayemsema mwenzio unakosea sana tena kushinda hata yeye sema tu yetu yanaonekana yako Wazi zaidi.

wanawake tumekuwa tunapenda kukandamizana sana sio km namtetea ila ifike mda tuwe na Moyo mtu anapokosea na akajua nimefanya vibaya basi huyo mtu huna haja ya kumchukia lakini unakosea na unaendelea kujifanya wewe ndio wewe huo sio ubinaadamu bali ni Ujini.

Hata mimi km mtu anaona nimemkwaza basi anisamehe maisha yenyewe mafupi sijui kesho yangu labda nitakufa leo.

Be Strong my forever Wiii ❤