'We go to schools to become educated fools,' Here are deep lyrics from Frasha's Wajinga Sisi

Piece by: Caren Nyota
Lifestyle

Days after King Kaka released Wajinga Nyinyi, he has paved way for other artistes to express their feelings about the country in explosive lyrics.

Also read;

In his song, which has attracted over 2 million views on YouTube, King Kaka highlighted bad governance, problems affecting youth and the nation as a whole and so did singer Frasha and Teardrops in their songs.

Also read;

Frasha's Wajinga Sisi version is a continuation of 's song and below are the lyrics.

Hello, Hello! King Kaka, ni Frasha hapa

Manze hii fight alone hauwezi toboa

So nimeamua kustand na wewe

So kabla wani-surmone wacha nitoe yangu surmone

Naskia Waiguru amekusue, is this true?

Funny vile judiciary imekuwa circus

Judge na politicians wakiwa main acts

Mshukiwa anaachiliwa kwa bondi ya milioni mbili

Na kesi yake ni ya bilioni mbili

Nani atatupigania?

Hatujui maguru wa NYS

Na Ruto na makesi za mashamba scandal za mahindi

Na story za Mumias na sukari

Na ata kama we ni pastor unang’ang’anana

How can you have a deceitful tongue?

But Sunday church bado tutajazana

Wajinga Sisi!

Story ya SGR tuliacha kujicompare na Ethiopia

Wale pia walikuwa wanapiga kelele walinyamazishwa

Pia ‘hello unanskia?’

System ya education ni ya kubebesha punda mzigo

Hapo ndo mwanzao wa mitego

We go to schools to become educated fools with no jobs

Justice ni ya wenye doh

Lawyers nao ni beneficiaries of failed system

No wonder masomo inaitagwa system, Wajinga Sisi!

Na ata kama wakitumada

Damu ya Sharon bado Inatu-owe bado

Siogopi kufa juu kwa system niko dead

Na bado me si sonko

Na hakutakuwa na commission of inquiries

Wasee wapate makazi na salary

No wonder bado vijana wako moody daily

Wakiworry hii kesho itafika lini

Juu bado si ni wazee na ni future leaders

Hello, Hello, mnanisikia? Wajinga Sisi!

Daily tuko kwa mitandao IG na Twitter

Tukionesha venye tunaishi poa

Ni kama kila mtu alitoboa

Picha kwenye hoteli na meli daily

But ukweli tuko chini tunasuffer

Vitu hard kwenye ground

Kwenye matanga hakuna mtu ako sad

Familia ikilia wanasiasa wanaji campaign-ia

nimesaidia familia na elfu mia

Kisha makofi tunawapigia

Wajinga Sisi!

Itaanza kutuuma lini sisi?

Itaanza kutusumbua lini sisi?

Future generations ni kina nani?

Na nani watawapigania

Tunashinda tukipuliza gunia

Eeeh Mungu nguvu yetu

Ilete baraka kwetu

Haki iwe ngao na mlinzi

Na tukae na undugu, amani na uhuru

Bado kuwa mkenya najivunia

But nimechoka kuvumilia

Time ni ya kujipigania

Tokeni mitandaoni

Kujeni tujenge Kenya

Maovu ni maovu

Haijalishi ni nani aliyatenda

Na sitasimama maovu yakitawala

Wakiuza sura badala ya kuuza sera

Ju hand-outs hazitawai kujengea barabara

Hand-outs hazitawai kujengea shule

Hand-outs ndio kabila ya umasikini!.

Also read;

https://www.instagram.com/p/B6QJ9GFH4TJ/