UKATILI WA KIFO! Wife To King Of Taarab Dies While Giving Birth (PHOTOS)

Piece by: Caren Nyota
Lifestyle

Legendary taarab singer Mzee Yusuf is mourning the passing away of his second wife Chiku Khamis Tumbo.

Chiku died while giving birth on Saturday night at Amani Hospital in Dar es Salaam Tanzania. Her daughter died too. 

Mzee Yusuf's fans took to social media to console him and here are some of the messages;

Happy Kibona: Tusimame kwenye maombi pepo limekazana kutumaluza wanawake kwenye uzazi Mungu tuhurumie

Grace Gapi:  Poleni Sana family ya chiku mungu awatie nguvu ktk kipind hiki kigumu mlichonacho

Rahima Athumani: Hakika Allah amembashiria pepo mwanamke anaekufa kwa kujifyngua anaingia peponi bila hisabu kwa barakka za mwezi huu wa ramadhani na kumi la mwisho allah ampzishe kwa amani dada yetu

Mariam Ng'anzi: Innalillah Wainnaillah Rajiuun. Pole sana Mfalme wa Taarabu, yote ni mipango ya mwenyewe Allah, akuoe subira kwa mtihani huu mzito InshaAllah. Amin.

Mamu Jibe:  Poleni sana jamani kazi ya mungu ainamakosa mbere yake nyuma yetu

Salmamagawa: Pole ndugu katika Iman

Copacabana: Pole sana kaka kwa msiba ulokupata ni pigo kubwa kwa mwanadamu lkn kwa allah ni wajib kila mwanadamu ataonja umauti m mungu akupe subra sana

Nassorohassan: Allah akujaze subira kwa kipindi hiki kigumu shekhe pole sana kwa kipindi hiki kigumu

Zulpha: Pole sana kwa kumpoteza mkeo na mtoto

Salim Barissa: Mke mdogo au mke wa pili wa Al-Hajj Ustadh Mzee Yusuf, Chiku ametangulia mbele za haki yani amefariki. Chiku amefariki alipokuwa hosipitalini kwenda kujifungua, yeye pamoja na mtoto wameenda mbele za haki usiku huu. Innalillah wainnailayh rajiun, Mola aipe nguvu familia ya Mzee Yusuf na marehemu wakati huu mgumu.

Chiku and her child were laid to rest yesterday in Dar es Salaam Tanzania. Here are photos from the funeral

1.

2.

3.

4.

5.

6.

Also read;