'Sitaki ufala, comments za kijinga,' Bien on why he didn't release wedding photos

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

Sauti Sol's Bien has revealed that the reason he didn't shared his wedding photos on social media was because he didn't want negative comments.

He and Chiki did the wedding at the AG's office and later had a private reception party at a secret location. The theme was vintage.

In an interview with Radio Jambo's Massawe Japanni, Bien revealed,

'Harusi yangu haikua harusi ya kawaida, Nilienda kwa AG na nika-invite marafiki wangu wa karibu. Hio vibe ilikua hapo hiyo siku ilikua the happiest day of my life. Sijapata kufeel hivyo siku nyingine mahali popote pengine na nikipiga picha nieke mtandaoni mtu anayeangalia hiyo picha haelewi mbona watu wamevaa vile wamevaa.'

Adding that,

'Haelewi mbona Bien hajavaa suti. Na sitaki kupatia watu wajinga nafasi ya kupeana maoni yao kuhusu harusi yangu. Nitajiwekea, ndio msiniharibie hiyo siku na comments za kijinga. Sitaki ufala, vitu zangu ni vitu zangu.'

He went on to say that he is a person who is easily angered and didn't want to respond to haters

'Mimi ni mtu nacatch feelings haraka sana, nitajipata natukana watu mara mtu ametukana miguu ya bibi yangu mara ametukana ile suti nilikua nimevaa'

Bien says that part of his life is private and that people on social media will never see the photos.

Wasahau, hakuna picha wataona.

In a past interview, Bien told Mpasho, he will not have a white wedding because to him that is colonisation as thus he will have a traditional wedding.