'Sijawai elewa kwa nini mimba ilitoka,' says Mulamwah's girlfriend

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

Mulamwah and girlfriend Caroline 'Sonnie' Muthoni revealed that to date, they are not aware why they lost their unborn baby.

Speaking to Massawe Japani on Radio Jambo, Sonnie said,

"Hadi leo sijawahi elewa kwa nini mimba yangu ilitoka mapema, madaktari waliniambia kwamba nilikuwa na dhiki na ilisababisha mimba yangu kutoka."

Adding,

"Nilipokea kejeli nyingi kutoka kwa mashabiki, wengi walikuwa wananiuliza kwa nini nilikubali mimba ya Mulamwah ikatoka, ni kama nilikuwa na chaguo"

Sonnie says she is afraid of getting pregnant after that experience.

"Mulamwah alinipa ushauri baada ya mimba yangu kutoka mapema, mimi naogopa sana kupata ujauzito kwa sababu ya yale yalitokea," sonnie said.

The two have been dating for four years.