Read The Teary Story Behind The Street Boy Who Helped Ailing Kenyan Woman Gladys Kamande

Piece by: Caren Nyota
Lifestyle

John Thuo, the street child who prayed for ailing Kenyan woman Gladys Kamande has won the hearts of many. Kenyans can't stop talking about him. His prayers wwere more sincere that those of rogue pastors who extort money from sick people in the name of healing them.

Well, who is this young boy, John Thuo? Read his sad story below as narrated by social activist Ndungu Nyoro

'He's a young man, a son of David Njoroge and (late Mary Nyambura). They were three children. His parents had not so good a marriage and his violent dad could always kick his mum out when drunk.

"siku moja baba alikuta mum amepika mchele akairusha nje ya nyumba na kuimwaga. Tulifukuzwa tukaenda kuishi kwa nyumba za kukomboa kambiti. Siku moja mwaka wa 2014 akiwa anaenda kuchukua vitu za soko, mum akagongwa na gari akafa. Nilikuwa Std 4.

Jioni baada ya mazishi shosho yangu akasema hataki kutuona huko kwake. Ndugu zangu wawili ambao ni wadogo wangu walichukuliwa na serikali, sijui walipelekwa wapi.

Mimi nikaenda kuajiriwa kazi ya kuchunga ngombe na mama anaitwa Charity au Mama Njoki. Nilikaa huko one year halafu siku moja nikiwa nimelala ngombe wakakula mahindi kwa shamba ya wenyewe. Nikafutwa kazi".

He moved to street life. His grandmother chased him and his siblings because apparently, she was taking care of 6 other children from her other daughter who was deceased too. He says the six cousins were being mistreated even by their uncles.

See also: 

At Thika he got used to his life until his encounter with GLADYS.

"Niliskia na chokosh wenzangu kuna mama anajibebea hewa ya kupumua. Vile magari zilikuwa zinaenda polepole nikaenda kumwona. Vile nilimwona ilibidi nikalia. Nilimhurumia. Hata nilimchangia ile 20 bob nilikuwa nayo".

I asked him why he decided to give the only money he had in his pocket. He told me he opted to give because even him if he suffered the same, others would support him. He told me his dad is still alive but he remarried yet he doesn't know where he stays.

At the request of Gladys, Thuku has been moved from the streets of Thika and is now under the care of a children's home. He is willing to go back to school as long as it's not anywhere far from mum(Gladys).'