Drama! Otile Brown responds to Vera Sidika's claims that he's spreading lies about her

Piece by: Caren Nyota
Lifestyle

Otile Brown and Vera Sidika seem to still be in "love" although they're no longer together, as the two keep speaking about each other.

The two are always bashing each other online and recently, Vera Sidika revealed that her ex, presumably Otile was spreading rumors that she had closed down her salon.

I was told that some ex was spreading these rumors. They wish. NEVER closed at all. Only on Christmas Day. People like it when they see u fall. So even when u ain’t falling they’ll force others to believe you have.

Also read:

The Chaguo la Moyo hit singer came out to deny the claims, saying he can never wish anyone bad even if they're not in good terms.

Nishakosana na kuchukiana na watu ila sijawai mtakia mtu afeli kwenye maisha mana huo ni ushetani unapomuombea mtu asipate ata kula .. sikufunzwa ivo kabisa.

Otie Brown went ahead to say that the bootylicious socialite was painting a bad picture of him after their nasty break up.

Kuna watu watadanganya ili kutengeza urafiki .. unanijua sinaga roho mbaya ..nishakosana na kuchukiana na watu ila sijawai mtakia mtu afeli kwenye maisha mana huo ni ushetani unapomuombea mtu asipate ata kula .. sikufunzwa ivo kabisa… Tofauti yangu na wewe ni kua unaniombea mabaya na kunisema vibaya kila kutwa kwenye group yenu ya WhatsApp wakati mimi mtulivu sana .. unapowashawishi watu kua mimi nimbaya kitabia ata kimaisha wakati sivyo ,watu wanakuchamba wewe kua vipi uka wai kua kwenye mapenzi na mtu kama mimi..kwa hivyo ata wewe thamani yako pia inashuka..usiishi kufuraisha watu hautawai enjoy maisha wala kua na furaha mana hao wanaishi maisha yao wakati wewe unajitahidi kua furahisha , ndio mana nimenyamaza na mengi ambayo yana nichoma moyoni na ningependa kuya sema nakujitetea ila najikaza mana ni baraka unapomfichia mtu uchi wake kwa hivyo ni heri nimpendeze Mwenyez Mungu kuliko Instagram.. Maisha yenyewe mafupi,kama hatupendani basi tusikwazane na kusemana kila kutwa kila mtu afate lake na maisha yaendelee.

Also read: