Off the market! K24's presenter Ahmed Bhalo finally walks down the aisle

Piece by: Caren Nyota
Lifestyle

K24's Ahmed Bhalo is off the market. The soft-spoken Swahili anchor, who is Mwanaisha Chidzuga's co-host tied the knot with his long-time girlfriend Khadija Omar Abdalla in an Islamic wedding yesterday.

Also read:

The colorful wedding was attended by family members, colleagues and close friends among them Director of Public Prosecutions (DPP) Noordin Haji and Former Mombasa Senator Hassan Omar.

While giving his speech at the wedding reception, the emotional Bhalo said;

Mwanaume yeyote hii ni miongoni mwa ndoto ambazo kwamba ako nazo especially kwetu sisi kama waislamu kwa kuwa twafunzwa kamwaba kuo ni kutimiza nusu ya dini.

Kwa hivyo kiufupi nina furaha sana. Kama ulivyotangulia kuona hapo awali nilikuwa nazungumza lakini machozi yanataka kutoka na machozi yanataka kutoka sio eti kwa sababu nasikitika, ni ile wanasema tears of joy.

He added:

Wengi walikuwa wakiniuliza na wapo hapa-Bhalo utaoa lini, Bhalo utaoa lini. Lakini sasa leo nawaambia tayari nishaoa na Inshallah dua zao na wale wanaonitazama na wengine wote dua zao nazitaja kwamba ndoa hii iwe ni ndoa yenye kheri.

Bhalo did not talk much about his wife and when asked about her, he said;

Siwezi sema mengi kumhusu… Ahmed Bhalo ni mtu ambaye anajulikana na pengine watu wataka kujua pengine huyu mtu mwingine ni nani lakini zaidi ya jina lake siwezi kukwambia mengi kumhusu.

Photos from the anchor's wedding have not been shared online yet but his co-host Chidzuga posted a video from the ceremony, wishing him all the best. Her message read;

Hongera Mdogo wangu Allah aibariki ndoa yako.

Also read: