Ali Kiba is reportedly under pressure from his mother and sister to settle down with and make an honest woman of Jokate.
The man who happens to be a bachelor with 4 children -each with their own mother- is said to be under pressure also because his mother feels his children need stability and having a wife will better allow him to give this to them.
“Mimi kama mzazi, ninaona muda wa Ali kuoa sasa umefika maana kama ni maisha ya ujana ameshafanya kila kitu, ana watoto wanne na kila mmoja na mama yake, ni vizuri sasa akachukua mke ili aweze kuwalea hawa watoto wake. Mimi kama mzazi huu ndiyo msimamo wangu, ninamtaka atafakari na kuchukua uamuzi mara moja, maana ingawa siyo vizuri kwa mzazi kumpangia mtoto wake cha kufanya, lakini inapofikia suala la kuoa ni muhimu ukasimama na kutoa msimamo, wakati wa kuoa umefika”
And Jokate Mwegelo, as I said earlier, also got support from Ali Kiba's sister Zabibu who had this to say:
“Mimi namchukulia Jokate kivingine kabisa, ni msichana mwenye busara zake na amekuwa kama mshauri wangu wa karibu mno, ningetamani angekuwa mke halali wa kaka yangu kwa sababu ana vigezo vyote vya kuwa hivyo. Kwa kuwa kaka yangu bado hajaoa, ninaomba kila kukicha nafasi hiyo ichukuliwe na Jokate kwa sababu ni mwanamke anayestahili kuipata nafasi hiyo ya kuwa wifi yangu"
Man marries one of the famous American conjoined twins