Nyota Ndogo Defends Jackline Mwende Over Having An Affair

Piece by: Grace Kerongo
Lifestyle

Jackline Mwende has elicited both positive and negative reactions about her pregnancy. Joining the furore is coast based artiste, Nyota Ndogo who has also had to deal with condemnation and ridicule from Kenyans online.

Nyota Ndogo has had to deal with insensitive stories and posts about getting married to an ancestor, but she doesn't let that weigh her down.

The Watu na Viatu star still shares photos of her mzungu husband on social media and shows him off.

Today, she has taken Jackline Mwende's side and said, societal pressure and an unrelenting male ego lead to her loosing her limbs in an alleged brutal domestic violence attack.

Nyota took to social media and wrote, "Wanawake hupitia mambo mengi katika ndoa zao. Wengine usema tosha wacha naondoke. Wengine usema wacha tu nivumilie kwasababu ya watoto ntafanyaje? Wengine ukaa tu kwa ajili hawana pakwenda ama familia zao zimewaambia baki uko uko ndio uvumilivu wa ndoa. TASA..nani alisema tasa iliumbiwa mwanamke? Pia waume kuna ambao hawakujaaliwa kupewa mayai na wengine wanasema huyu mama sijui ndio mwenye makosa oh sijui angeondoka tu kwa hio ndoa mbona amefanya hivyo nje ya ndoa? Watu hasa wakenya wanajua kukashifu wenzao sana. Nani anajua huyu mama alipitia mangapi kwa huyu mwanamume? Kwa familia ya huyu mwanamume?"

"Hata maybe alikua akitukanwa WEWE TASA UZAI ONDOKA. Wengine hawaondoki kwa kua WANAPENDA. Huyu nashuku alimpenda sana bwanake akaona the only way ni mimi nifanye hivi couse alijua shida sio yeye na hakutaka kumuaibisha mume wake kwakumtangaza mume HAZAI. MUSHALIFIKIRIA HIO? Kiupande wangu huyu ni binadamu pia na alichoka kusemwa.ila waume wengi hata wakiitwa hospitali kuangaliwa kama tatizo ni yeye hawataki wanaona aibu kwa hivyo anaficha aibu yake kwa kumpigia mtoto wawatu kumtukana hadharani ili pia iwe nyimbo kule nje Kua mke wangu hazai. ndio kafanya makosa kutembea nje ya ndoa but mybe alimpenda mume wake sana mbali na aliokua anapitia. NYIE MUNAONAJE? TUSILEMEE UPANDE MOJA," Nyota said.