Nimeitwa na CID Kwa sababu ya Rose Muhando- Stephen Kasolo narrates

Piece by: Queen Serem
InPictures

Stephen Kasolo who is one of Rose Muhando's Kenyan allays has spoken up about how he was called by CIDs to be questioned about Rose Muhando.

He told Willy M Tuva that:

Nimeitwa sana na CID milimani police station nikaulizwa mambo mengi ya Rose. Chenye najua ni kwamba Rose ako safe.

He says he told them that the Tanzanian singer wasn't involved in any drug addiction:

Niliwaambia mpaka siku ya mwisho yeye niliona Rose, na wakaniuliza mambo ya madawa ya kulevya, nikawaambia Rose hatumii madawa ya kulevya. Hata ukanitia kisu shingoni ukaniambia anatumia nitakwambia hatumii.

Adding that:

Mimi sijui mambo na dawa, na hata ningejua leo hii anatumia dawa, singesema. Maana ni mama. Ningesema nini kwa media? Ningejua anatumia ningemshauri kama mama vile anaweza kujiepusha, lakini kwenda kusem kwenye media mama anatumia dawa hiyo ni kumtoa mzazi nguo.

Kasolo has called upon every fan of the singer to pray for her.

Cha msingi tumuombee Rose.