Mpasho Exclusive: Why I dumped WCB's Harmonize-Jacqueline Wolper

Piece by: Queen Serem
Entertainment

Tanzanian actress Jacqueline Wolper was in the country for a club appearance at the XS Millionaires. Wolper, who doubles up as a fashion icon opened up about her break up with Harmonize.

The two were in an on-and-off relationship that made headlines for the better part of last year.

In an exclusive interview with Mpasho, Wolper said her break up with the Matatizo hitmaker was as a result of his love for money.

"Bado Harmonize anatafuta maisha, mimi ni mrembo na nimetafutwa sana na wale wenye kuniwezesha. Kwa upande wangu nilishindwa kutekwa na the dons, kumbe mwenzgu hakua hivyo."

She is convinced that the singer is still head over heels in love with her.

"Sio kwamba alikua hanipendi lakini yeye alikua ni msanii mdogo kwangu, akatokea mtua anaeza kusaidia zaidi ya wolper akaona kule ndio kwenye fursa zaidi.Pesa ilizidi nguvu kuliko penzi."

Weeks after their break up, Harmonize released a song that was said to be directed to Wolper. In the video, he has used a video vixen with a striking resemblance to the actress as he narrates how hard it was dating her.

Responding to this diss track, Wolper says Harmonize did that to comfort himself.

"Anajifariji kwasababu the guy loves me a lot. Ananipenda na ninajua kwamba ananipenda. Mbaya zaidi pia mwanamke wake anajua kwamba ananipenda. Chochote anachofanya namhurumia nasema acha atafute pesa."

Here is the exclusive video;