Mbosso in fight with in-laws after baby mama's death

Piece by: Queen Serem
Entertainment

Tanzanian singer Mbosso has been undergoing tough times after losing one of his baby mamas. Martha was a well-known comedian in Tanzania who died on Wednesday.

Her death has been accompanied by drama after Mbosso revealed that he and Martha had been blessed with a child. Martha's family, on the other hand, say that their daughter did not have a baby.

The comedian's sister insisted that Mbosso was lying about having a baby with her sister. Mbosso says that he and Martha had agreed to keep their relationship a secret until her demise.

Tanzanian media pundits say that Martha had kept her pregnancy and child a secret from her family, considering her parents are pastors while Mbosso is Muslim.

This is a mystery that's yet to unfold, and it will be interesting to see what happens next.

Here Mbosso's message explaining their relationship.

"Licha ya Vipingamizi Vingi juu ya Mimi kuwa na Wewe takribani au ndani ya zaidi ya Miaka Mitano (5) iliyopita, hatukuacha kuonyeshana ni kiasi gani tulikuwa tunahitajiana sana kwenye Safari yetu ya maisha , Japo jitihada zetu hazikuweza kufanikisha Mimi na wewe Kuwa Pamoja .., ila mbegu tuliyoipanda vuno letu ulichagua Liwe siri baina yangu Mimi na wewe.., sikukubishia japo Mwazoni nilikukatalia kwa sababu 'najijua kifua cha Kuficha Siri sina..' , ila nikakuahidi sitadiriki kuitoa Popote na hata waliotuhisi tulikuwa tunawakatalia.., iwe Faragha au mbele ya hadhira tulitamka Sio Kweli, Hapana, Hakuna Kitu Kama hicho..' Hayo ndo yalikuwa Majibu Yetu.., "Sasa Umeondoka bila kunipa ruksa juu ya hili Je, niendelee kuitunza hii siri .., na Je, anavyoendelea Kukua akija kuniuliza na nikwambia Mama alisema uwe siri atanielewa Kweli ''.." ?.. Wallah Moyo wangu unauma Martha , hukupaswa kuondoka wakati huu, Mapema mno Dah ..!! "Nenda Martha Mwingi Furaha na Ucheshi , Hata Mama Kasema Leo Msibani..:, ' jana ulikuwa unatabasamu hadi ulipofumba Macho , "Innalillah Wainnailaih Raajuun " ..' Mwenyezi Mungu akupe Kauli thabiti inshaallah.., ' Lala salama Martha 🙏"