Mapenzi kwisha! Sarah dumps Harmonize claims he was disrespectful, never loved her

Piece by: Caren Nyota
Lifestyle

Tanzanian singer Harmonize's girlfriend Sarah Michelotti has called it quits. The Italian woman in a lengthy Instagram post, revealed that she loved Harmonize so much but he wasn't proud of her.

The furious Sarah claimed the Aiyola hit singer never respected her and was a serial liar.

'Niliolewa na wewe sababu nilikupenda, ulikuwa kila kitu kwangu na nilikuchagua kama ulivyokuwa na nikakupa mapenzi yangu yote na nilijitahidi kukupa furaha ambayo wewe hukuweza kunipatia. Siku baada ya siku nimekuja kugundua kuwa upo tofauti kabisa na huna adabu kwa mtu yeyote. Na hukujua kumtunza mwanamke kama mimi au kujivunia kwa mtu ambaye amekupa maisha mazuri. Na hujui kuheshimu watu waliokupenda na waliokuwa wanakusapoti.muda mwingi nagundua kuwa wewe ni muongo na bandia kwa kila kitu . [ I married you because i loved you, you were everything to me and i chose you just the way you were .. i gave you all my love and I did my best for your happiness something that you didn’t do for me at all.... day by day i found you were completely different and you don’t have any respect for anybody ... you didn’t even know how to keep a wife like me or to be proud of one person who give you the good life..and you don’t know how to respect people who really do love you and the ones who are there to support you... most of the time i found out that you're just lie and fake it]' she wrote in part.

Also read;

She continued

'NIMEPITIA MENGI KWENYE HAYA MAHUSIANO X NDOA NA KAMA NIKIVIWEKA VYOTE HAPA KILA MTU ATASHANGAA SABABU UNASUKA TOFAUTI KABISA. SIKU ZOTE UNAVAA KINYAGO USONI PAKO. SINA HATA MANENO MENGI YAKUSEMA KWA SASA .. HUJAWAHI KUSHUKURU HATA SIKU MOJA KWANILIYOKUFANYIA NA SASA UMECHELEWA. MAISHA YATAKUFUNDISHA SOMO AMBALO UNASTAHILI KWA VITU VYOTE ULIVYONIFANYIA NA KWASASA NITAZINGATIA MAISHA YANGU. UBARIKIWE NA SASA UPO NA MUDA WAKUWA NA MWANAMKE YEYOTE UMTAYE NJIANI..NA NIKUSHAURI: JIFUNZE JINSI YA KUTHAMINI NA KUHESHIMU KILE WATU WALICHOKUFANYIA. ['I’ve been through a lot in this fake relationship. If I put all here everyone will be shocked because you have another face kabisa. You always put a mask on your face. I don’t even have more words to say and speak now ... you didn’t even appreciate what I did for you and now is too late ... life will teach you the lesson you deserve for what you u did and now I will be focusing on my life ... be blessed now u have all the time to be with any womon...and I advise you learn to appreciate and respect what people they do for you].

Their break up comes barely two days after Harmonize publicly shared photos of his four-year-old daughter.

Also read;