'Naomi Campbell wa Ungwaro,' Njambi Koikai on how she terribly failed in a modelling competition

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

Before they finally made it to be the big deal they are now, many Kenyan celebrities have gone through the worst.

Well, for Faya Mama a.k.a Njambi Koikai, it was her dream to become a top model.

Njambi says her efforts to become Kawangare's finest model was shut down by a competition she attended at a high-end hotel in town.

Previously, she had paid money to a modelling agency to get an opportunity. The Faya Mama has been sharing some of her life experiences on social media, probably, to motivate her fans on not giving up.

She wrote;

"So wacheni niwapigie story. A few years ago, nilikuwa na dreams za kukuwa model. Naomi Campbell wa Ungwaro. Eish. Sasa kulikuwa na agency moja hii Kenya ya madha flani mlami ilikuwanga area ya Jamhuri Park. Nikaendaga kalesa hapo kujitafutia riziki mimi mtoto wa Ungwaro na Riruta Satellite. Nilienda huko kama nimesweat yangu yote na vumbi uzuri nilikuwa na kitambaa ya kujipanguza. So kufika pale nikalipa chapaa flani nilikuwa nimesave, nikajaza forms na kama wakanishow watanicall back. Nikajazwa hopes mbaya nikatoka huko nikicatwalk mpaka mtaa. A few weeks later kukatokea compe flani ilikuwa inaitwa Face of Africa"

"Nikajua hapa sasa ntatoboa. Ile agency haikuwai nicall. So nikaingia pale kama independent candidate with love from Dagoretti. Eeeh so compe ilikuwa pale New Stanley Hotel before iitwe The Stanley.

Niliendaga mpaka Sunbeam nikanunua gundee ya white juu chini kutoka kwa morio wangu flani alikuwa supplier wa wadhii Chilee"

Adding;

"Anyway nimeingia New Stanley hoteli ya wazungu, carpet kila mahali na mamziki hazinanga words yaani piped music. Hii si area ya kuskia Jahmby akidai ati hii ni ya wale wanyanya ama wale watomato hahaha.

So test ya first ilikuwa kupimwa height. Nikaanguka, nikaambiwa mi ni mfupi. Nikaambiwa nicatwalk, nikacatwalk kuliko paka zetu za mtaa zikiiba nyama kwa butchery. Nikaulizwa maswali ndio wajue kama najua kizungu. Hapo napo najua nilitoboa.

Baadaye results zikatokea nikaambiwa, thanks for coming but you lack the OOMPH for this competition. Watu yangu unaimagine kurudi home kwenda kuambia shosho yangu na madhe ati sikutoboa juu ya OOMPH? Hata hiyo oomph ilikuwanga nini?

Hehehe nilirudi tu home nikaambia kina madhe na shosho yangu sikushinda juu sikuwa kipara ngoto....

#JahmbyWaDagoSeries"

Njambi is also an Endo-warrior.