'I am not dead,' Aslay angry at social media news

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

Tanzanian singer Aslay has warned people against spreading fake news. He shared a screenshot of stories about him being dead on social media and asked people to be humane and not kill others on social media.

He wrote,

Inasikitisha na kushangaza sana unawezaje kumzushia mwanadamu mwenzako kifo na mabaya mengi. Wanaofanya hivi ni Watanzania wa kawaida kama sisi ambao tulitamani watupe habari na burudani na wao wapate riziki, lakini wako bize kutupotosha na hata kuharibu majina yetu.

He called upon the authorities to take action against fake news channels.

Nawaomba sana @tcra_tanzania wasiache kuzichukulia hatua online Tv kama hao #GeeMedia #Mautamu na makanjanja wengine wanaopotosha umma. Tuna imani na ninyi TCRA, Jeshi la Polisi na mamlaka nyingine. Watu kama hawa wakiachwa, wanachafua taswira nzuri ya vyombo vingine vinavyofanya kazi kwa weledi. Mimi naheshimu sana waandishi wote bila kujali ukubwa wa vyombo vyao, lakini hawa makanjanja wachukuliwe hatua na kutokomezwa kabisa.

Aslay is not the only celebrity to be killed on social media, it has happened to singer Mr Nice, Jaguar, Conjestina among others who are still alive.