'Chukua Shamba, Nyota, Wazungu Hugeuka,' Fans Advise Coast Artiste After Her Ancestor Promises To Buy Her A Huge Chunk Of Land

Piece by: Grace Kerongo
Lifestyle

Mombasa songstress Nyota Ndogo is a shrewd businesswoman. She doesn't waste her hard earned cash on frivolous expenditures.

She saves and invests.

Unlike her counterparts, Nyota has a home that she built from her own earnings bila loan. The spacious mansion located in Voi, is always featured on her social media posts. You cannot miss it.

Now, she is making other boss moves.

The Watu na Viatu star wants to buy a huge chunk of land, courtesy of her mzungu hubby, Henning Nielsen.

SHe wrote on social media, "Jamani kuna hii shamba nimekwenda kununuliwa leo wapenzi. nimefika nimeona nimependa heka mbili. ila nimegeuza roho nilipofika maana mimi sio mkulima kisha mda wangu mwingi wausafiri kazi na mziki. sasa sinitaibiwa mimi vyakula baada nipate faida nipate haraka mpaka mtu akuulize nilinunua hasara. Vizuri nijijue tu kua sitakua na mda na shamba.itanipa stress kwakweli.NYIE LEO MUNI ADVICE PLZZ.nimerudi kufikiria tena home."

A city woman who uses the name Maurine A. Doering advised,

"Usisite kuchukua hiyo shamba nyota, wazungu hubadilika haraka hakikisha umeangalia poa hiyo shamba na ubadilishe jina iwe yako kwa barua ya shamba wazungu ni walewale mkiachana mnagawa malizote kua mjanja."

Here are more reactions to Nyota's question...From the suggestion's it shows Kenyans have very good business minds.

Lucy Wangui: Kubali badae utaona matunda yake. Weka mtu umuaminie akusimamie.

Alfan Mwachewa: Enda ununue rentals instead.

Phoebe Jebet: Nyota pliz kubali ununuliwe shamba.boy wako anahitaji shamba hiyo baadaye.ama unaweza uza ikurudishie pesa mara mob incase ukipata kusumbuka nayo.

Nalonja Safi: If you can borrow a leaf from Akothee, she does it very well...Uzuri Wa shamba bei hupanda kila siku.

IG Kenya wrote in jest: "Juu huyo ni sponsor...pia wewe kuwa sponsor wangu. unigawie eka moja."

James Wananda Tucker: My dear sister, look for one near a town and build a rental estate, it will help you and your children in future plus even your grandchildren,am good in those areas just inbox me for more advices.

Eunice Shady: Nunua then jenga kanyumba hata kama ni ya mabati...at least pple will respect the place.

Tinah Sish: Wanawake mizubao ndo hatutaki huku kwetu. Nini wewe? Shamba wafikiria twice!!!!! heheeee!! Una mchezo Nyota wewe!

Pauline Bianca Nyota: Take the land, have your title, no one knows tomorrow, for now you can temporary sell it to someone for 10 years akuwe akitumia, when the period is over you can take the land or renew the contract.