Kufanana Nayo! Fans React After Diamond Platinumz Unveiled Son's Face With Side-Chick

Piece by: Queen Serem
Entertainment

Diamond Platnumz's son with new baby mama Hamisa Mobetto, is a copy and paste. Abdul Naseeb Dangote, his son, looks just like the father Naseeb Abdul Dangote.

For the first time, the bongo star has admitted that he cheated on Zari Hassan with Hamisa Mobetto, his Salome video vixen.

Mobetto leaked photos of her and Diamond getting cosy in Diamond and Zari's bed. She later leaked photos of her at Diamond's office where she was bossing around.

Diamond and Hamisa met back in 2010 where they dated and later broke up over irreconcilable differences. Diamond says the devil got into him last year and slept with the model:

"Baada ya kuachana wakati, mimi nikaendelea na maisha yangu na mpaka naanzisha mahusiano yangu na Zari. Shetani akanipitia na Tukaanza tena kuwa na mawasiliano ya kimahaba mpaka pale...

Hamisa alipopata ujauzito. Nilimuambia mimi ni Baba mwenye familia yangu. Inabidi jambo hili libaki kati yangu mimi na wewe. Sikupenda kuikana Mimba, ni damu yangu na kila siku iendayo kwa Mungu nilikuwa nampatia matumizi." Diamond Told Clouds FM

Here is Diamond's Child with Hamisa:

Check out fans' reactions:

quenpreat: Huu ushabiki maandazi nilionao kwa zari hadi mi mwenyewe sielewi manaake ninavyoumia Kama mm ndo zari vile 😂😂

chariekish@polycarpboss: shit got real here😀😀😀

taludarling@misslynnlucaz: now the Hamisa chic will stop updating celeb chronicles. He should just leave Zari. The level of disrespect waaaa. Hata kama

neyshakeys: Umeyafanya yote hayo mwisho wa siku unataka mwanamke aliyekutoa aibu ya ugumba atukanwe. Uliitwa mgumba na huzai mwanamke kakutoa aibu. Leo hii unamletea wewe aibu. Hf at the same time unasema ulimwambia kumbe muongo. Hamisa unatembea naye tangu upo na wema kama unampenda sana si umuoe. Mfyuuuuuuuuu

yuleguy@diamondplatnumz: zako tu nikucheza nje na unacheza ka dry fry......katubukitha is bae

orangemakeovers@diamondplatnumz: u are cursed already. Im no fan of urs anymore

b.chilly: Yaani wewe ni mwanaume aisee 💪💪💪💪 hutishwi na mwanamke 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

Also Read: