"Haha, endeeleni kuongea!" Victoria Kimani tells haters after they mock her horrifying Kiwahili

Piece by: Geoffrey Mbuthia
Entertainment

Victoria Kimani is no stranger to . The lady who has lived most of her life outside Kenya is being savaged for her terrible Kiswahili.

This happened after someone noticed that her Kiswahili was not up to scratch. She even wrote back saying:

Lazima ni baraka za Mungu kwamba sielewi Kiswahili kwa sababu sitawahi kuelewa zile chuki huelekezwa kwangu….. Haha ..Endeleeni kuongea, sioni, siskii, Wala sielewi neno, ni herufi tuu. Like a stamp of Gods protection over my heart, soul and mind.

The singer who was born in the United States has confessed she doesn’t understand the language when it is posted on her social media page.

She even spoke at a prior date that she had given up learning the language ya 'Wahenga" after she was mocked when she did so.

She also asked why artists from abroad do not get the same trolling yet they don't post in Swahili:

Napenda sana, Tanzania na Afrika Mashariki kwa jumla. Lakini inakera sana wakati baadhi ya watu wanadhania kuwa, sizungumzi lugha ya kiswahili kwa kupenda kwangu, ama kwa sababu nimekataa kujaribu nijue….. Ukweli ni, hata wakati ninapoweka bidii na kujaribu kwa kadri yangu, wengi wananicheka kwa matamshi mabovu, wananihukumu na kunipiga mkwara kwa kukosa uzoefu wa Swahili, wakati wao walizaliwa uswahilini. Nimejieleza Mara kwa Mara kwa zaidi ya miaka 6, lakini kwa wengine bado.

Naomba niulize… Je, mbona hawaulizwi wasanii wa USA na sehemu zingine sababu za kukosa kuongea Swahili?

Ni muziki zao muna enjoy… bila maswali. Wengine hupata raha wenzao wanapopata tabu!

Uzoefu wako wa kuongea kiingereza na matamshi yanapokua mabovu? – sijakukosoa. Kwa kweli mambo kama haya yananifanya nisiwe na nia lugha yeyote- ila Kizungu! Unapopenda mziki yangu, unaipenda, kama huipendi, huipendi.

Lakini sita anza gumbaru ya swahili sababu yako wewe!

Whoever wrote the above Kiswahili for her must be a pro. Even I don't know a  few(many!) of the words. What the hell is gumbaru?!

Whatever, Victoria has spoken.