'I will still respect you ,' Harmonize addresses his breakup with Actress Kajala

Piece by: Elizabeth Ngigi
Entertainment

Konde Gang CEO Harmonize has confirmed his breakup with Actress Frida Kajala.

Frida and Harmonize were alleged to have broken up after the actress deleted all their photos together.

Harmonize also responded to Rayvanny who called him out for allegedly wanting to date Kajala and her daughter Paula.

In a long post yesterday, Rayvanny leakeda screenshot of a  private conversation which included nude photos from Harmonize to Paula.

Rayvanny wanted the 'Atarudi' hitmaker to apologize.

Well, Harmonize has responded saying he respects all women including those he has ever dated.

He mentioned that Jackline Wolper, Sarah and Kajala are the reason he is Harmonize today.

He appreciated them for being in his life.

Harmonize also called out all those who wanted his relationship with Kajala to end saying he will continue respecting her despite their breakup.

Check out his post;

'This one from the bottom of my heart.....!!!! sikuzote naheshimu na nitaendelea kumuheshimu kila mwanamke aliewahi kuwa katika mahusiano na mimi niukweli usiofichika nilianza na (jack ) then (saraah) kisha (kajala) kila 1 kwa wakati wake ....!!! na kwa hakika hawa ndio wanawake walionifanya leo hii nikawa (harmonize ) kwa pamoja tumepitia mazuri mengi na mabaya pia ....!!! mara nyingi siziangalii tofauti peke...!! naangalia zaidi nyakati za furaha tulizo pitia ndiomana sijawahi kumdharau au kumuongelea vibaya yeyote kati yao itoshe kusema nawaheshimu na kuwathamini na naamini ni zaidi ya marafiki na ndugu niowahi kuwa nao tofauti hutokea muda wote bila kujali ni za aina gani au zinatokea wapi ila moyoni naamini haziwezi vunja upendo tulio utengeneza kwa muda mwingi myoyoni .....!!!!! siku zote nitaendelea kuwapa kipaumbele kama wanawake wenye nafasi kubwa sanaaa ukiacha mama yangu mzazi ningependa kuwaona wenye furaha ili hata kesho na kesho kutwa tuje kuzikana maaana hakuna aijuae kesho yake ....!!!!! naaamini kuachana ni mwisho tu wa maridhiano kutokana na sababu husika lakini sio vita wala uhasama ...!!!! au chanzo cha kudhalilishana na ningependa kuongea zaidi kuhusu (k) ....!!!!!! ambae naweza sema ndio mtu wa mwisho kumiliki moyo wangu ...!!!

He added;

leo tupo wazima lakini hakuna anaeijua kesho haina sababu ya kuonyeshana nani ni zaidi nani, kaumia , au nani kakosea zaidi, kuliko mwingine kwani haina maana yeyote lakini pia ni kuwapa ushindi watu waliokuwa wakipambana kuona haya mahusiano hayapo tene.....!!!!!! kama ilivyo ada nitaendelea kukuheshimu na kukuombea mafanikio mema umekuwa mtu mzuri kwangu hususani kwa kipindi tulichokuwa pamoja ..!!! kwakuwa mimi sio mtu wa kueleza eleza sana ilikuwaje ikawaje nafunika kombe mwana haramu apite lakini pia niwashukuru engineers wote mliofanikiwa kulikamirisha hili ....!!! dat was good plan na imefanikiwa ....!!!!! ila niombe tu iwe kwa amaniii ...!!! isiwe #vibaya ....!!!! link on my bio