'I Didn't Kill Kanumba' Actress Denies Murder Charges

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

Elizabeth Lulu Michael, a popular Tanzanian actress was charged with the alleged murder of the Late Steven Kanumba, who was one of the most re-known bongo movie actors.

Kanumba died in 2012 after a heated argument between himself and Lulu who was his girlfriend.

For the first time, the actress has narrated how the ordeal happened saying she did not kill Kanumba.

She said as quoted by DizzimOnline:

"Nilikuwa nataka kutoka ila marehemu ‘Kanumba’ alinikataza, alikuwa hataki nitoke, nilipomwambia natoka na marafiki zangu alinikimbiza na taulo na mimi nilikuwa naogopa kupigwa, mara nyingi alikuwa ananipiga kila akilewa na sio kwa akili zake, alipoona simu yangu inaita akahisi ni simu ya mwanaume akasema kwanini naongea na simu ya mwanaume mbele yake? Marehemu akaingia uvunguni akatoa panga akasema leo nakuua huku akinipiga na panga kwenye mapaja”       

She added;

"Marehemu alianguka mwenyewe na kujigonga kwa nguvu na kuinuka sehemu nyingine alikuwa kama anatapatapa, nilimwambia Seth kuwa Kanumba amedondoka na akajaribu kumuamsha hakuamka akasema anaenda kumuita daktari, alivyosema anaenda kumuita daktari na mimi nikaondoka nikiogopa anaweza akaamka akaanza kunipiga, niliondoka nikawasha gari kuelekea Coco Beach kutuliza akili.”

Lulu says she later received calls telling her that her boyfriend was dead, she was later escorted to the police station identified as Oysterbay."Nilivyofika Coco beach meseji zilianza kusambaa kuniuliza kuwa nasikia Kanumba amefariki, nikampigia ‘Kidume’ ambaye ni rafiki yake Kanumba kumuuliza Kanumba yupo hospitali gani niende kumuona, akaniambia wewe usije hospitali, niambie uko wapi, tukakubaliana tuonane Bamaga, tulivyokutana Bamaga alikuwa kama anataka kuongea na mimi ghafla wakaja askari kunikamata na kunipeleka Oysterbay polisi, Nilipofika Oysterbay nilikuta watu wengi sana niliyemtambua ni Ray. Nilipomkuta Ray Oysterbay polisi nikajua Kanumba amekamatwa kwa sababu ya makelele niliyokuwa nayapiga kule nikajua watu walisikia. Nilijua Kanumba amefariki nikiwa polisi. Kwa namna yoyote ile mimi sijasababisha kifo cha Kanumba, na mimi ndiye nilieshambuliwa na marehemu kutokana na umbile langu nilikuwa mdogo na alikuwa na uwezo wa kufanya chochote kwenye mwili wangu kwa sababu yeye ndo alikuwa na silaha."