What Stevo Simple Boy's wife thinks of him hitting on Ngesh

• The rapper has maintained that he still wants still would want to date Kaveve Kazoze despite her rejection of him.

Stevo Simple Boy vs Ngesh
Image: Courtesy

A few days after Ngesh wa Vasha popularly known as Kaveve Kazoze rejected his request to go out with him, artist Stevo Simple Boy painfully opened up about how he received the rejection.

Stevo speaking to online journalists said that even after Ngesh rejected him, he still considers her to be a beautiful girl.

“Ngesh ni msichana mrembo, mtoto ameumbika, unaona. Lakini akuje kwangu ili tuongee tuone kama tunaweza toka kimapenzi na mambo yakiwa sawa mimi nitawaambia Wakenya ndio huyu. Pia anafaa afikirie kwamba sasa hivi kuna wanaume wengi wanamtaka lakini kuna wale pia wanakuja kudandia huo umaarufu wake, mimi nitamwambia Kaveve Kazoze ninampenda kisha wamuachilie,” Stevo said.

Comparing Ngesh Kaveve Kazoze to a former ex-girlfriend Stevo said; “Unafaa watu wanafaa kuelewa kuna pundamilia na punda. Mimi sitaji mtu lakini pundamilia ni kivutio cha watalii lakini punda huwa siku zote anadharauliwa lakini huwa ni msaidizi wa watu pale nyumbani. Kati ya punda na pundamilia nachagua punda.”

The artist also answered the question that has been raised by many about how Grace Atieno - the beautiful woman he introduced during his father's funeral as his wife, is feeling about him hitting on other women.

“Mke wangu pia ananielewa, haimaanishi mimi niko na fikira za kuoa mitala lakini anaelewa kwamba lazima kuna kuchovya chovya, ni sahihi,”  Stevo answered.

Check out the latest news here and you are welcome to join our super exclusive Mpasho Telegram group for all the latest and breaking news in entertainment. We would also like to hear from you, WhatsApp us on +254 736 944935.