Promise Diamond made to his mom before fame and fortune

The singer said he gave the promise to his mother while they were both on a matatu

• The singer's mom is arguably the biggest influence in his life.

Diamond Platnumz with his mom
Image: Instagram

As he wished his mother, Mama Dangote, a happy birthday, Diamond Platnumz recalled the day he had pledged to start a business for her.

This happened when they were both riding in a matatu, that he made the vow, according to Diamond;

"Nakumbuka Mwaka Mmoja wakati unafanya kazi ya Saloon kariakoo, tukiwa tunarudi usiku majira kama ya saa sita hivi kwenye Daladala nikakwambia “Usijali mama Kuna siku nitatoboa kwenye mziki na nitakufungulia na wewe Saloon yako”..."

He added;

"Vyote naweza visahau lakini maneno haya siwezi yasahau, kwasababu nilikuambia kwa uchungu nilipokuona unanitazama kwa huruma na Uchungu, kwa jinsi nilivyokua nahangaika na maumivu ya kiti chamoto kwenye Daladala ya Hiace… "

Diamond claimed that his mother is the cause of his diligent effort.

"Nakupenda na Nakuheshimu sana, na siku zote ujue kwamba wewe ndio sababu ya mimi Kupambana usiku na mchana ili kuhakikisha unapata furaha ambayo uliikosa kwa muda mrefu...Happy Birthday Mom, Mwenyez Mungu akupe Maisha marefu yenye Furaha, Afya na Amani @mama_dangote ❤️‍🔥🎂❤️‍🔥."

Mama Dangote's response was that even though they were struggling, Diamond never stopped encouraging her and giving her hope.

"NASHINDWA CHAKUANDIKA MWANANGU NASEEB😭😭😭😭😭 NA NDIO MAANA NIKAMUPA JINA LA NASEEB KICHWA KWA JINSI ULIVOKUWA UNANITIA NGUVU KATIKA MAISHA TULIOISHI MIMI NA WEWE …"

She continued by saying that she gave him the name Naseeb Kichwa since the artist gave her hope when they were going through a difficult moment in life.

"ILA WATU HAWAIJUI MAANA YA NASEEB KICHWA NAIJUA MIE MAMA YAKO JINSI ULIVOKUWA UNANIPA MOYO KATIKA CHANGAMOTO TULIZOKUWA TUNAPITIA MIMI NAWEWE..TUMSHUKURU M/MUNGU KWA HAPA TULIPO FIKIA JAPO SAFARI BADO NI NDEFU SANA @diamondplatnumz 🦁 JUA NAKUPENDA JUA NAWAPENDA SANA SANA WANANGU."

Check out the latest news here and you are welcome to join our super exclusive Mpasho Telegram group for all the latest and breaking news in entertainment. We would also like to hear from you, WhatsApp us on +254 736 944935.