Ali Kiba reveals why he is ignoring drama surrounding his marriage

Last week, the singer's wife Amina Khalef demanded that he signs the divorce papers.

• Ali Kiba is currently in a fix after his Kenyan wife demanded a divorce.

• The couple has two kids.

Tanzanian star Ali Kiba with his alleged girlfriend Jeniffer Jovin

Speaking to media personality Kalondu Musyimi, Kiba said he watches and lets the drama die away by itself.

That is why he is ignoring all the drama that is currently surrounding him.

"Wakati wengine sio kila saa unahandle drama I believe that if you can't solve it then leave it, until you find a solution," he said

Last week, the singer's wife Amina Khalef demanded that he signs the divorce papers.

“Nimeona kuna haja ya kuaddress, | think hii inaenda kuwa too much!!! I am tired of being disrespected publicly huku watu wakiwa hawaelewi situation iliyopo’ katika kivuli cha MKE WA MTU!!!" She wrote on Instagram stories

Adding;

“Nimeondoka kwenye maisha yako kuepuka maumivu, abuse na mengi, lakini mpaka leo HUTAKI kunipatia Divorce huku wewe ukiwa huru kufanya mambo yako na mimi ukinifunga katika kivuli cha MKE WA MTU, (In the name of Kulinda Brand as you said), Kindly nakuomba SIGN THE PAPERS ili nipate Divorce yangu kila mmoja aendelee kwa uhuru, Asante!,” 

This week, more drama unfolded when the singer's first baby mama blasted Alikiba's alleged girlfriend Niffer.

Niffer shared a video on her Instagram with Alikiba's son which led the son's mother demand that she leaves her son alone.

"Ebu punguza speed kwanza?Kuna wenzio walikuja kama wewe saa hizi wamejituliza so chill binti. Yaani unaenda Kumpost mtoto wangu kama nani? Fans wake au shobo dundo tu."

She added that Alikiba's wife, Amina has never posted her son on social media and would not expect any of the singer's lovers to do so.

"Mkewe wake tu hajawai hata kwa bahati mbaya kumpost ila wewe binti mwenye shobo chafu. Alikiba please tell them to stay far na kijana wangu unanijua kivingine bro. Kiki za kijinga sitaki na ndio maana siongeangi chochote kile busy na mikumbalala yangu."

Check out the latest news here and you are welcome to join our super exclusive Mpasho Telegram group for all the latest and breaking news in entertainment. We would also like to hear from you, WhatsApp us on +254 736 944935.