Ray C is a bongo music legend that has served fans with her melodious voice and gift over the years. She released hits that were well received across East Africa.
For years now, she had stopped releasing new music and is now based in France.
But is she lying about Hamisa Mobetto? Well, some fans also have the opinion that Mobetto is not well suited to be an artiste.
Dm story: Umesema ukweli my sister wanatuyumbisha sana hawa chawa wasanii wenye vipaji hawasapotiwi wanapewa sapoti wenyekiki za maisha yao ya kifekifeki
Robby14: Umeona vyema sana Dada mkubwa watu wanaizika bongo fleva kwa mikono yao wenyewe.... Vipaji halisi vipo mtaani, vipaji bandia vipo kwenye media vinatrend... Nonsense rubbish
Mummy68: Huzuni wabongo waimbie Kiswahili utaskika lakini kingee hakipandi kabisa hubakia buuuh na kutojua waskiza nini ,,,waimbie mbeleko ,nimekuzoea,,,moyo wangu kauchubua,,saa itakuaje ,mke mwenza ,,Yani minyimbo ya mapenzi ni michambano tuu.
Pattycarol: Well said Rayc
Medymanda: Umeongea kweli mama
Omanyala and wife's appearance on Roaming Chef's channel stirs Kenyans