'Ndo anayelala na yeye' Diamond's sister speaks about Tanasha Donna

Piece by: Queen Serem
Lifestyle

Queen Darleen who is Diamond Platnumz's sister has for the first time spoken about her brother's new bae, Tanasha Donna Oketch.

Speaking to Sam Misago, the hitmaker said that she hasn't met Tanasha face to face but has seen her on photos.

Ukimuona ni msichana mzuri, mstaarabu, mwenye heshima zake, anafaa kua na mtu yeyoye yule ambaye anataka kua na yeye. Nimemuona kwenye picha sijapata nafasi ya kuonana naye ama kuongea naye.

She adds that her brother has spoken about the subject of him getting married in 2019.

Swala la kuoa lipo lakini yeye mwenyewe ndiye mwenye chaguo la kumuoa nani. Sisi tunamsikiliza yeye atakachoamua, sisi tunafata. Huwezikumpangia mtu kwa sababu mwisho wa siku yule mtu hulali na yeye.

Adding that she supports her brother with whatever decision he makes with the woman he loves.

Yeye ndo anayelala na yeye, ndio anayepata raha. Namtakia kila la heri na mwenyezi Mungu amfanyie wepesi maamuzi yake anayotaka kuyafanya mwaka huu usipite atimize lengo lake.