'Wanaosema mtaachana na wadhalilike' Diamond throws shade at Esma Platnumz' critics during her wedding

Piece by: Peninah Njoki
Lifestyle

Diamond Platnumz has said that people waiting for his sister Esma Platmuz and her husband to break up will have to wait a little longer.

This he said during the wedding reception of Esma Platnumz. Sending his congratulatory message Diamond advised

"Nawatakia Kheri kwenye ndoa yenu , na wale wa Instagram wanaosema mtaachana , wabaki wanadhalilika wao sisi tubaki tunachelea 

Na siku nyingine tupatane sehemu kama hii kusherehekea miaka inavyoendelea kusonga.

Watu wengi kwenye wasafi tuko single kwa hivyo msisite tujuane,tufahamiane.'

He further added that he has not been lucky enough to be married but he said he knows a thing or two about relationships.

'Sijawahi fanikiwa sana kuwa katika ndoa kwa hivo nikifunza mambo mengi kuhusu ndoa nitakua nadanganya.

Ila nimekua kwa unyumba kwa muda mrefu. 

Kuna vitu kadhaa najua vinafanya watu waishi pamoja kwa muda mrefu na hivi ni kusikizana,kuaminiana na kutoskiza mambo ya watu.

Na pia ni muhimu kuskizana.'

Esma is a mother of two from a previous relationship and is married as a third wife.

Muslim customs allow a man to have as many as four wives, thus Esma is in line with her customs.

Kamati ya roho chafu, continue saying wataachana na wewe hata bae hauna, jealousy will kill you.