Diamond speaks about break up, 'Thank you Zari, Hamisa and Tanasha...'

Piece by: Grace Kerongo
Exclusives

The Tanzanian simba has roared. This time, Diamond  Platnumz is speaking up about his break ups.

Kwa kweli, simba pia hula nyasi. Sometimes.

A week after his third baby mama, Tanasha Donna, left him, he has offered an olive branch to her, and the rest of his baby mamas; Zari Hassan and Hamisa Mobetto.

In a celebratory post, Diamond wrote, "Happy International Women's Day ya leo Naidedicate kwa hawa Super Women wangu....Wanaake ambao wana Mchango wa kipekee kwenye Maisha yangu...

"Wao walinifanya nikafanya kazi kwa bidii, nikapatia, nikakosea, Nikafurahi, nikalia, nikaonekana Mzuri na wakati mwingine Mbaya...

"Lakini mwisho wa siku yote ilikuwa ni Safari yangu niloandikiwa Duniani ili inifanye kuwa mimi niitwae DIAMOND PLATNUMZ."

The Bongo star added,

"Leo....kila Mwanadamu ana Mazuri na Mapungufu yake, jifunze kukubaliana na hilo na uthamni kila aliyegusa Maisha yako kwani hakuja tu kwa Bahati mbaya ni iliandikwa na Mwenyez Mungu ili ikufikishe ulipo....

"Mchango wa hawa ni Mkubwa na Ndio maana Upendo na thamani yao kwangu itabaki milele Moyoni.... Hawa ni Super Women wangu🙏🏼 Happy International Women's day to all the #SUPERWOMEN in the World 🌍

#SUPERWOMAN 👸."

Most of the fans commenting on the post seem to have fallen in love with Diamond over his admission that he wronged his exes.

Anyhow, beside branding his baby mamas, super women, on the list of his incredible women, is, his mother, sisters Queen Darlene and Esma and his only daughter, Tiffah.