Diamond responds to his 'cosy' video with ex Wema Sepetu

Piece by: Queen Serem
Entertainment

Diamond Platnumz has responded after a video of him and Wema Sepetu went viral. The two were captured whispering sweet nothings ion each other's ears looking all cosy. They indeed had a memorable moment.

Wema who is the Salome hit maker's ex girlfriend was invited by the singer in a WCB event. Following the viral video, fans have had mixed reactions with speculations that he has not moved on.

Well, Diamond has responded saying the two have already solved their differences. He added that he is now a family man who is committed to it. And no, he and Sepetu are not getting back together.

He wrote:

"Wengi Hupenda kuona watu wakiwa wana Vita ama uhasimu usio na kichwa wala miguu... Eti utamsikia mtu anasema "Dogo Mi shabiki yako Mkubwa na nakukubali sana ila kitendo cha kumualika Wema Umeniuzi" kwaio we unataka mie niendelee kuwa na vita ama niwe na vita na Wema ili iweje? yani mie nikiwa na vita na Wema we unafaidika nini? na itanisaidia ama kusaidia nini kwenye Sanaa yetu? Huwezi kuwa shabiki yangu halaf unafurahia mie kuendelea kuwa na vita na mtu, tena vita ambayo imeshaisha...nina familia yangu Naipenda Naiheshimu na siwezi kuiacha... ila hio sio sababu ya kuwa na vita na watu...na huu ni mfano wa kwanza mwingine unafata.... Huu sio Muda wa kujenga chuki zisizo za msingi ni wakati wa wasanii kushirikiana na kwa pamoja kufanya kazi na kukuza sanaa zetu kwajili ya future ya wadogo na vizazi vyetu vijavyo... Shukran sana Mdam kwakuja usiku wa jana...Mwenyez Mungu akubariki na akujalie kila la kheri uliombalo."

Check out their photos: Courtesy-Millard AYo: