Beef is over! Ali Kiba ends beef with Diamond Platnumz, set to share same stage

Piece by: Queen Serem
Entertainment

Ali Kiba and Diamond Platnumz are coming together after years of feuding. The two are set to come together during the Wasafi Festival and here in Kenya, it will be held on the new year's eve.

Well, Platnumz invited Kiba to join him in this festival in a press conference pointing out that his aim was not to beef with him.

Inawezekana tukiwa pamoja na nia dhabiti ya kuikuza sanaa lakini sio nia ya kiugomvi kati yetu.

Kiba, on the other hand, heard the cry but due to his schedule, the 'Chekecha Cheketua' hitmaker said he won't be available. He, however, pointed out that he was going to sponsor Diamond's concert with his newly launched energy drink.

Baada ya subra ya muda mrefu, hivi karibuni nitawatangazia bidhaa yetu pendwa ya Mofaya inapatikana wapi na kwa kiasi gani! Pamoja na shughuli rasmi ya kuizindua kitaani.

Pia ndugu zangu #Wasafi tumepata salamu zenu, nashukuru kwa mualiko wenu, ila kwa bahati mbaya sitoweza kushiriki kwa sasa kutokana na majukumu ya kuzindua Mofaya katika nchi zingine. Hata hivyo tusingependa kuwaacha hivi hivi, tupo tayari kuwapa support ya kudhamini tamasha lenu kupitia #MofayaEnergyDrink ili kuweza kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya sanaa yetu Tanzania na Africa . Management #RockstarAfrica yangu tutaendelea kuwasiliana nanyi tuweze kufanya hili jambo kubwa.

#MofayaByAlikiba

#KingKiba

Their beef started to fade when Diamond shared a message to Kiba in April this year when the Rockstar signed artiste walked down the aisle with his Kenyan bae Amina Khalef.

Ni Mwendo wa Picha za Suti tu sasa hivi, Maana nisije nikafungua hata kashati nikajikuta Centro…Pole yenu Wa zee wa Gym, Kama Muscat Round hii🤣🤣🤣…. Wadau Nimeambiwa King Kiba kaoa leo…Mfikishieni Salam zangu, za Ndoa njema, na Maisha yenye Furaha, Amani na Baraka tele…🔥🔥🔥

Diamond’s mother was not left back but wished her son's frenemy all the best in his new life.

Bismillaah mashallah Hongera sana @officialalikiba kwa kupata Mke, Nawatakia Maisha mema yenye Mafanikio na Furaha tele kwenye Ndoa yenu, Mungu awabariki sana..

But what did Rayvanny have to say about this festival? He spoke exclusively to Mpasho.co.ke