Ali Kiba's baby mama left in poverty after star refuses to give child support

Piece by: Queen Serem
InPictures

Ali Kiba is in trouble. His baby mama number three by the name Khadija is crying for child support. Khadija says Kiba has stopped giving his share of upkeep.

She has sued the singer for the same.

The two are blessed with a daughter Chamy Kiba. Speaking to Millard Ayo, the woman says Kiba stopped giving child support to the daughter and when taken to court he said he wasn't sure whether the child was his.

"kesi ilipangwa tarehe 23, Nilitegemea kwamba tukienda mahakamani kila kitu kitakua sawa yaani atakubali majukumu yake na yataisha kwa sababu mimi nilikua naomba yaishe. Lakini imekua tofatuti, amesema hana uhakika kama mtoto ni wake."

She added:

"Angekua hana uhakika na mtoto wake angemlipia ada? "

Kiba, on the other hand, told Clouds FM that the baby mama has been preventing him from seeing his daughter but what angered him the most was the fact that the kid once called another man “Dad”.

“Mtoto anaweza akataka kumuona baba yake lakini tukimchukua mtoto anamchukua iyo hiyo siku. Anakwambia amem-miss, sasa mpaka lini imekua hivyo? Akaeleweshwa ikabidi awe anajitahidi kutuachia hata siku mbili siku tatu. Hatupei mtoto yaani hataki sisi tukae naye.”