Baba Talisha addresses malicious claims he was involved in Brian Chira's death

• The content creator has seen his name slandered by a section of TikTokers who keep on associating Talisha with the unfounded allegations.

Baba Talisha and the late Brian Chira

Tiktoker Baba Talisha has broken his silence amid ongoing speculation surrounding the death of Brian Chira.

Despite it being clear that the late Brian Chira died in a road accident, some TikTok users have been emerging with various theories, attempting to find different reasons for the road accident.

Some have been making claims that Baba Talisha, the TikToker who was at the forefront of facilitating Brian Chira's final journey, was involved in his death.

In a conversation with Mungai Eve, Baba Talisha broke his silence and said that those spreading such misleading information, perhaps wanting to disclose details of the funds he raised for Chira's funeral, might not have even contributed a single cent.

“Watu wengi katika mitandao ya kijamii haswa TikTok, kila mtu ako na maoni yake. Kwa hiyo mimi nawaacha wagonganishe kwa maoni yao, wakisema tumekula pesa 8m, mimi nakubali tu. Wakiniita mwizi wa pesa za matanga, mimi nakubali tu. Mimi sina shida kabisa,” he said.

He also addressed some prominent names on TikTok alleging that he had a part to play in the late Chira's untimely death.

“Mimi huwa sipendi kubishana na watu siku hizi, haswa watu wenye wanaongea, mtu anajaribu kuniulizia mambo ya uwajibikaji pesa, yeye mwenyewe hata hakuchanga hata shilingi. Yeye amejikita zaidi katika stori za sijui Chira aliuliwa, sijui alipigwa risasi. Si huo ushahidi wote, kuna ofisi za DCI, kuna vituo vya polisi.”

He finished by saying that these TikTokers maligning his name should take that evidence to the police,

“Si apeleke ushahidi kule aseme huyu mtu aliuliwa na mtu fulani. Hadi anakuja kusema eti mimi ndio niliua Brian Chira, unaona. Mpaka nakuja kushtuka. Ni kama anafurahia kwa sababu anaona Baba Talisha ndio gumzo sasa hivi, hiyo ndio njia anaweza kupata views. Kila siku ana’host watu TikTok akiniongelelea akinitusi,” Baba Talisha said.

Check out the latest news here and you are welcome to join our super exclusive Mpasho WhatsApp group for all the latest and breaking news in entertainment. We would also like to hear from you, WhatsApp us on +254 736 944935.